Malachi 3:13-15

13 a“Mmesema vitu vigumu dhidi yangu,” asema Bwana.

“Hata hivyo mnauliza, ‘Tumesema nini dhidi yako?’

14 b“Mmesema, ‘Ni bure kumtumikia Mungu. Tumepata faida gani kwa kushika maagizo yake na kwenda kama waombolezaji mbele za Bwana Mwenye Nguvu Zote? 15 cLakini sasa wenye kiburi wanabarikiwa. Hakika watenda mabaya wanastawi, pia hata wale wanaoshindana na Mungu ndio wanaosalimika.’ ”

Copyright information for SwhNEN